Mto wa Efurate, ulipitia chini ya mji wa Babiloni. Waamedi na Waajemi walichimba mtara, wakaundoa mto njiani pake. Maji yaliyopitia chini ya mji, yakapotoshwa mto chini ya mji, ukawa kama barabara.
Mfalme na kundi lake walikuwa, wanasherehekea,majeshi ya Wamedi na Waajemi wakapatia ile njia ya maji wkashuka mauleka mji ule.