Sehemu ya tatu inaonyesha jinsi kusoma Biblia kwa hekima kunatuhitaji kujifunza kuhusu mitindo ya fasihi ya kale iliyotumiwa na waandishi wa kibiblia. Waandishi hawa walielezea mawazo na madai yao kwa aina tofauti za fasihi, na video hii itachunguza kwa nini ni muhimu kutambua aina hizo ili tuweze kusikia ujumbe wao kwa mujibu wa walichokusudia wao.
#bibleproject #Biblia #nameofvideo