Sehemu ya tatu inaonyesha jinsi kusoma Biblia kwa hekima kunatuhitaji kujifunza kuhusu mitindo ya fasihi ya kale iliyotumiwa na waandishi wa kibiblia. Waandishi hawa walielezea mawazo na madai yao kwa aina tofauti za fasihi, na video hii itachunguza kwa nini ni muhimu kutambua aina hizo ili tuweze kusikia ujumbe wao kwa mujibu wa walichokusudia wao. #bibleproject #Biblia #nameofvideo

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.