Kuelewa jinsi sitiari zinavyotumiwa katika Biblia ni ujuzi muhimu wa kusoma mashairi ya kibiblia. Wakati wowote mtu anapoelezea kitu kimoja ili kuelezea kitu kingine, anatumia fikra za kifumbo, iwe anatambua au la. Sitiari zipo kila mahali katika Biblia na katika mazungumzo yetu ya kila siku. Katika video hii, tutachunguza kipengele hiki muhimu cha lugha ya kibiblia. #bibleproject #Biblia #nameofvideo Wahusika Katika Utayarishaji wa Video: Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili Tai Plus Dar es Salaam, Tanzania Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake BibleProject Portland, Oregon, USA

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.