muhtasari

Je? Ushawaji kufikiria ingelikuwaje kuishi katika siku za Bibilia? Kutembea na wana wa Israeli jangwani, kukutana na wanaume na wanawake na watoto waliosikia kuhusu amri za Mungu kwa mara ya kwanza? Kuzigusa pazia maridadi za hema la kukutania na kumwabudu Mungu, jinsi walivyofanya zamani? Hizi ni hadithi hai za Bibilia na zinasimulia kuhusu waisraeli jinsi walivyomuabudu Mungu aliyewaumba, kuwapenda na kuwaokoa.Tunaweza kumwabudu Mungu papa hapa tulipo naye ametuonyesha njia ya kupokea msamaha wa dhambi na ondoleo la aibu pia.

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.