Hadithi Hai za Biblia: Kitabu 1: Adamu na Hawa
0: Adamu na Hawa Kitabu
Je, unaweza fikiria tu ingekuwaje kuona dunia vile Mungu alivyoiumba ama kutembea na Adamu na Hawa katika shamba la Edeni? Hebu tuanze kutoka mwanzo, katika kitabu cha Mwanzo. Mungu aliuumba ulimwengu, na kila kilicho ndani yake, ikiwa ni pamoja na Adamu Na Hawa. Lakini punde tu adui angetokea!