Katika kipindi cha ishirini na tisa, Bahati na Riziki wanajitolea kusaidia katika hospitali siku nzima. Riziki anaonyesha huruma kwa kugusia hasia za wagonjwa hawa wa virusi vya ukimwi na Bahati anasaidia wagonjwa hawa na mahitaji zao za kimwili.wote wanajifunza kuwa kupeana huduma ni kitu cha maana sana.