Karibu tena ndugu msikilizaji wangu kusikiliza kipindi cha MWITO.Makala ya leo ni nambari 415.Tunaendelea na mfundisho yetu kutoka injili ya Yohane.Ikiwa hukuwa nasi kwenye kipindi kilichopita nambari 414 naomba nikupatie tu muhtasari wa yale tuliozungumzia.Tulisoma katika sura ya 9 ya injili ya Yohana aya ya 26