Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu.,lakini yerye aliyenipeleka ni kweli,nami niliyoyasikia kwake ndiyo ninenayo ktika ulimwengu.Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba..Basi Yesu akawaambia mtakapokuwa mmekwisha kumwinua mwana wa adamu,ndipo mtakapofahamu kuwa mimi ndiye;na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu,ila kama Baba alivyonifundisha ,ndivyo ninenavyo.