Warumi 4:5-7

Heri waliosamehewa makosa yao,na waliositiriwa dhambi zao.Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.Je? uheri huo ni kwa waliotahiriwa , au kwa hao pia wasiotahiriwa?Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.Alihesabiwaje basi?

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.