Usisite kuniandikia na kunifahamisha chochoe kuhusu kipindi hiki. Lakini nakuuliza Je? Unalo hili tumaini nililolizungumzia? Una hakika utamwona Kristo atakapordi kuwachukua walio wake? Wale ambao wameokoka na wanafanya kazi yake?
Ikiwa ni Mungu alisema .hivyo katika neno lake bila shaka ni kweli.Inagharimu imani
kubwa kuliamini ndeno la Mungu lililo kweli.Vishawishi na mahangaiko ya hapa
duniani vyote vinakinzana na imani yetu;tumaini tulilo nalo
Kama vile Daudi auenavyo uheri wake mtu yule ambaye Mungu amehesabia kuwa na haki pasipo matendo – Heri waliosamehewa makosa yao, na waliositiriwa dhambi zao. Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi. Je?
".Tumaini hilo linatupatia subira ya kufahamu kwamba ajapo tena Kristo kunyakua kanisa lake ;waumini wake ;wateule wake tutakuwa tayari kumlaki.Tutakuwa tumeandaliwa kiimani kumpokea"
Heri waliosamehewa makosa yao,na waliositiriwa dhambi zao.Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.Je? uheri huo ni kwa waliotahiriwa , au kwa hao pia
wasiotahiriwa?Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake
ilihesabiwa kuwa ni haki.Alihesabiwaje basi?
Katika somo la leo tunanukuu injili ya Yohana 19:14 ambayo inazungumzia
kwamba kwa kuwa mimi ninaishi,nanyi pia mtaishi.Na kwa sababu alikufa ,hata nasi
tulikufa na kufufuka naye,wakati alipofufuliwa kutoka wafu.