"Hebu sasa tuchunguze usemi huu..,kwa maana tulipokuwa adui tulipatanishwa
kwake Mungu kupitia kifo cha mwanawe.Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wakati
ambapo tulitengwa na Mungu.Tulikimbia uwepo wake."
Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
Heri waliosamehewa makosa yao,na waliositiriwa dhambi zao.Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.Je? uheri huo ni kwa waliotahiriwa , au kwa hao pia
wasiotahiriwa?Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake
ilihesabiwa kuwa ni haki.Alihesabiwaje basi?