Warumi 5:6 Sehemu ya 2

Hebu fikiria wenye dhambi wakiwa wamesimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.Lakini kwa mwaminio Mungu anapomtizama anaona damu ya Yesu Kristo ,mbaye kwaye tulihesabiwa haki.Na nikkitamatisha somo hili nakuliza je?

Warumi 4:23

NI dhahiori kuwa MUngu Baba alioridhika na deni la dhambi ililolipwa.Na wakati Yesu alikata Roho msalabani alisema Baba imekwisha.Je? Niulize swali? Ni nini kilikwisha?

Mwito – 391

Warumi 5:10

"Hebu sasa tuchunguze usemi huu..,kwa maana tulipokuwa adui tulipatanishwa kwake Mungu kupitia kifo cha mwanawe.Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wakati ambapo tulitengwa na Mungu.Tulikimbia uwepo wake."

Warumi 7:11

Warumi 8:26-27

Mwito – 375

Warumi 6:14-16

Warumi 8:14

Mwito – 392

Warumi 5:11

Tunamshukuru Mungu kwa kipawa hiki.Naomba tukamilishie hapa somo letu hadi kipindi kijacho.Lakini nina swali dogo tu.Ushampa Yesu maisha yako ili ujihakikishie uzima wa mildele? Umeokoka?

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.