Kwenye kipindi kilichopita tuliongelea pakubwa kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya ukristo.Na jinsi ilivo ada ya kipindi hiki nitakusomea kwa muhtasari aya tulizonukuu kwenye somo lililopita.
"Mtume Paulo anatumia mafano wa matawala katili anayetawala kimabavu.Ndivyo
dhambi ilivyomtawala binadamu tangu enzi ya Adamu hadi Musa. Kuna baadhi ya
walimu wa neno wanaomwelezea Adamu kuwa adamu wa kwanza na Kristo kuwa
adamu ya pili. "