Hebu fikiria wenye dhambi wakiwa wamesimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.Lakini kwa mwaminio Mungu anapomtizama anaona damu ya Yesu Kristo ,mbaye kwaye tulihesabiwa haki.Na nikkitamatisha somo hili nakuliza je?
NI dhahiori kuwa MUngu Baba alioridhika na deni la dhambi ililolipwa.Na wakati Yesu alikata Roho msalabani alisema Baba imekwisha.Je? Niulize swali? Ni nini kilikwisha?
"Hebu sasa tuchunguze usemi huu..,kwa maana tulipokuwa adui tulipatanishwa
kwake Mungu kupitia kifo cha mwanawe.Hii inamaanisha kuwa kulikuwa na wakati
ambapo tulitengwa na Mungu.Tulikimbia uwepo wake."
Tunamshukuru Mungu kwa kipawa hiki.Naomba tukamilishie hapa somo letu hadi kipindi kijacho.Lakini nina swali dogo tu.Ushampa Yesu maisha yako ili ujihakikishie uzima wa mildele? Umeokoka?
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali
rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi
utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo
huko Paradiso.?