Warumi 6:13-15

Kwenye kipindi kilichopita tuliongelea akubwa kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya ukristo.Kwa wale ambao hamukuwa nasi kweye somo lililopita tulisoma aya za 13 na 14 za sura ya 6 ya Warumi. wala msiendelee kuvitoa vungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi,bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai baada ya kufa na viungo vyenu kwa Mungu kuwa si…Soma zaidi

Mwito – 400

Warumi 6:1

Naam mtume Paulo aliuliza swali muhimu sana hapa.Je? tutazidi kutenda dhambi kwa kuwa kunayo neema wa wingi?

Warumi 8:1

Warumi 3:29

Basi twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa Imani pasipo matendo ya sharia. Au je? Siye Mungu wa mataifa pia? Kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakeyewahesabia haki wale walioathiriwa katika Imani, nao wale wasioathiriwa atawahesabia haki kwa njia ya Imani iyo hiyo. Basi je? Twaitabatilisha sharia kwa Imani hiyo?

Mwito – 384

Warumi 7:4

Warumi 8:18

Mwito – 368

Mwito – 401

Warumi 6:1-2

Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi? Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.