Hakuna tunaloweza kujivunia tutaendelea kujadili neem na kuhesabiwa haki kwenye vipindi jijavyo.Kwa sasa tukomee hapa.Lakini swali langu kwako ni je?waielewa hii haki inayohesabiwa waaminio?
Heri waliosamehewa makosa yao,na waliositiriwa dhambi zao.Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.Je? uheri huo ni kwa waliotahiriwa , au kwa hao pia
wasiotahiriwa?Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake
ilihesabiwa kuwa ni haki.Alihesabiwaje basi?
Kwenye kipindi kilichopita tuliongelea pakubwa kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya ukristo.Na jinsi ilivo ada ya kipindi hiki nitakusomea kwa muhtasari aya tulizonukuu kwenye somo lililopita.