Kwenye kipindi kilichopita tuliongelea pakubwa kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya ukristo.Na jinsi ilivo ada ya kipindi hiki nitakusomea kwa muhtasari aya tulizonukuu kwenye somo lililopita.
Basi twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa Imani pasipo matendo ya
sharia. Au je? Siye Mungu wa mataifa pia? Kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakeyewahesabia haki wale walioathiriwa katika Imani, nao wale wasioathiriwa atawahesabia haki kwa njia ya Imani iyo hiyo. Basi je? Twaitabatilisha sharia kwa Imani hiyo?
"Mtume Paulo anatumia mafano wa matawala katili anayetawala kimabavu.Ndivyo
dhambi ilivyomtawala binadamu tangu enzi ya Adamu hadi Musa. Kuna baadhi ya
walimu wa neno wanaomwelezea Adamu kuwa adamu wa kwanza na Kristo kuwa
adamu ya pili. "