Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali
rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi
utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo
huko Paradiso.?
Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu.,lakini yerye aliyenipeleka ni kweli,nami niliyoyasikia kwake ndiyo ninenayo ktika ulimwengu.Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba..Basi Yesu akawaambia mtakapokuwa mmekwisha kumwinua mwana wa adamu,ndipo mtakapofahamu kuwa mimi ndiye;na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu,ila kama Baba alivyonifundisha ,ndivyo ninenavyo.