Hakuna tunaloweza kujivunia tutaendelea kujadili neem na kuhesabiwa haki kwenye vipindi jijavyo.Kwa sasa tukomee hapa.Lakini swali langu kwako ni je?waielewa hii haki inayohesabiwa waaminio?
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali
rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi
utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo
huko Paradiso.?