Katika tamaduni kunao baadhi ya makabila ambao walitumia mbuzi au kondoo kuwapokwa watoto ambao hawakuzaliwa katika boma aufamilia, walitoa mbuzi au kondoo kumchunga halafu yule mtoto kuzaliwa mle na hivyo ndivyo Paulo anajaribu kuwaeleza wagalatia kwamba walizaliwa katiak ufalme wa Mungu, kondoo wa mungu, yesu kristo
MAHALI PETU KATIKA MPANG WA MUNGU
Ongeza kwa yaliyokupendeza