Namna ya kujiandaa kushiriki “Meza ya Bwana”. Madhehebu tofauti ya Kikristo hushiriki katika “Meza ya Bwana”; siku tofauti kila juma, zingine kuandaa Meza ya Bwana, mara kadha kila mwezi. La muhimu ni kujua na kukumbuka ya kwamba katika “meza ya Bwana,” sisi huadhimisha kifo na kufufuka kwake Yesu Kristo. Bwana wetu Yesu Kristo yu hai.