Basi twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa Imani pasipo matendo ya
sharia. Au je? Siye Mungu wa mataifa pia? Kama kwa kweli Mungu ni mmoja, atakeyewahesabia haki wale walioathiriwa katika Imani, nao wale wasioathiriwa atawahesabia haki kwa njia ya Imani iyo hiyo. Basi je? Twaitabatilisha sharia kwa Imani hiyo?
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali
rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi
utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo
huko Paradiso.?