Warumi 6:3

Aidha mwendee mchungaji wa kanisa linalohubiri wokovu wa Yesu Kristo. Atakushauri na kukuelekeza jinsi ya kukuza imani yako. ?

Warumi 4:10

Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki. Alihesabiwaje basi? Alipokwisha kutahiriwa au kabla ya hajatahiriwa?

Mwito – 389

Warumi 5:6

Naam bila shaka huu ni mstari au aya yenye nguvu.Inasema mengi kwa maneno machache.Tulipokuwa hatuna nguvu..Je? hii inamaanisha nini

Warumi 7:7

Warumi 8:24-25

Mwito – 373

Warumi 6:13-15

Kwenye kipindi kilichopita tuliongelea akubwa kuhusu jinsi ya kuishi maisha ya ukristo.Kwa wale ambao hamukuwa nasi kweye somo lililopita tulisoma aya za 13 na 14 za sura ya 6 ya Warumi. wala msiendelee kuvitoa vungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi,bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai baada ya kufa na viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha za haki.

Warumi 8:12

Warumi 4:16

Wale wa agano la kale na agano jipya.Ninachokuuliza nikifunga somo hili ni kwamba je? Umehesabiwa haki kwa sababu ya Imani yako? Na hiyo Imani ulipata kwa misingi ya wokovu?

Mwito – 390

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.