Warumi 6:4-5

Katika somo la leo tunanukuu injili ya Yohana 19:14 ambayo inazungumzia kwamba kwa kuwa mimi ninaishi,nanyi pia mtaishi.Na kwa sababu alikufa ,hata nasi tulikufa na kufufuka naye,wakati alipofufuliwa kutoka wafu.

Mwito – 396

Warumi 5:15-18

Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?

Warumi 7:18

Warumi 8:29

Mwito – 380

Mwito – 413

Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba..Basi Yesu akawaambia mtakapokuwa mmekwisha kumwinua mwana wa Adamu,ndip mtakapofahamu ya kuwa mimi ndiye;na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu,ila kama Baba alivyonifundisha ndivyo ninenavyo.

Warumi 6:22

Warumi 8:17-18

Mwito – 364

Warumi 5:17

Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo huko Paradiso.?

sajili ya -barua pepe

Sign up for the TWR360 Newsletter

Access updates, news, Biblical teaching and inspirational messages from powerful Christian voices.

Ahsante kwa kujisajili ili kupata ujumbe kutoka TWR360Thank you for signing up to receive updates from TWR360.

Habari inayohitajika haipo

This site is protected by reCAPTCHA, and the Google Privacy Policy & Terms of Use apply.