Ikiwa ni Mungu alisema .hivyo katika neno lake bila shaka ni kweli.Inagharimu imani
kubwa kuliamini ndeno la Mungu lililo kweli.Vishawishi na mahangaiko ya hapa
duniani vyote vinakinzana na imani yetu;tumaini tulilo nalo
Kama vile Daudi auenavyo uheri wake mtu yule ambaye Mungu amehesabia kuwa na haki pasipo matendo – Heri waliosamehewa makosa yao, na waliositiriwa dhambi zao. Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi. Je?
".Tumaini hilo linatupatia subira ya kufahamu kwamba ajapo tena Kristo kunyakua kanisa lake ;waumini wake ;wateule wake tutakuwa tayari kumlaki.Tutakuwa tumeandaliwa kiimani kumpokea"
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?
Naomba nikamilishe somo hli kwa leo kwa kukuuliza swali
rahisi sna.Umeshmpokea Krio kuwa mwokozi wakozi wako? Una uhakika ni wapi
utaishi maisha yako ya umilele.Itakuwa kwenye mateso kule jehenamu au na Kristo
huko Paradiso.?