Tulimalizia kwa kuichunguza aya ya 3 na ya 4 za sura ya 4 ya Warumi kwenye kipindi
kilichopita.Kwa muhtasari tulisoma haya ....Maana maandiko yasemaje?
"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Heri waliosamehewa makosa yao,na waliositiriwa dhambi zao.Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.Je? uheri huo ni kwa waliotahiriwa , au kwa hao pia
wasiotahiriwa?Kwa kuwa twanena ya kwamba kwake Ibrahimu Imani yake
ilihesabiwa kuwa ni haki.Alihesabiwaje basi?
Naam sura ya 6 ya Warumi itaingia kwa undani kwenye swala
hili.Hatutaendelea nalo kwa sasa.Ukweli hata hivyo ni kwamba MUngu aliona haja
ya mwanadamu na kukutana na hitaji lake.Je? Si jambo la ajabu kwamba tunaye
ambaye tunaweza kumgeukia kwa mahitaji yetu,hasa ya kiroho?