"Tulielezea jinsi madini ya almasi yalivyoumbwa kutokana na mbinyo kutoka pande sote hadi utakapopata kitu kipya cha thamani baada ya kipindi kirefu kama vile hiyo almasi au mkaa wa mawe na hata dhahabu."
Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu.,lakini yerye aliyenipeleka ni kweli,nami niliyoyasikia kwake ndiyo ninenayo ktika ulimwengu.Wala hawakutambua ya kuwa anawatajia Baba..Basi Yesu akawaambia mtakapokuwa mmekwisha kumwinua mwana wa adamu,ndipo mtakapofahamu kuwa mimi ndiye;na ya kuwa sifanyi neno kwa nafsi yangu,ila kama Baba alivyonifundisha ,ndivyo ninenavyo.
Mpendwa tunaendelea na somo letu ,ambapo tunakaribia kumaliza aya ya 5.Na
kwa sasa ningependa niseme somo hili limekuwa la kuridhisha na la kufahamisha
mengi.
Karibu tena ndugu msikilizaji wangu kusikiliza kipindi cha MWITO.Makala ya leo ni nambari 415.Tunaendelea na mfundisho yetu kutoka injili ya Yohane.Ikiwa hukuwa nasi kwenye kipindi kilichopita nambari 414 naomba nikupatie tu muhtasari wa yale tuliozungumzia.Tulisoma katika sura ya 9 ya injili ya Yohana aya ya 26
"Mtume Paulo anatumia mafano wa matawala katili anayetawala kimabavu.Ndivyo
dhambi ilivyomtawala binadamu tangu enzi ya Adamu hadi Musa. Kuna baadhi ya
walimu wa neno wanaomwelezea Adamu kuwa adamu wa kwanza na Kristo kuwa
adamu ya pili. "