Katika historia twasoma watu waliokuwa tofauti kwa sababu maalum. Ibrahimu alikuwa mmoja wao. Aliisikia sauti ya mungu na kwa Imani akaitii. Hali kadhalika na musa ayabadilisha historia ya waisraeli kwa sababu alipenda kuyafuata na kuyazingatia maagizo ya mwenyezi mungu kwa baadhi ya watu, Paulo aliwakasirisha yeye pia alikasirishwa na baadhi ya watu. Wengine walimwona Paulo kama mtu wa kuleta mapinduzi kuubadilisha hata ulimwenguKwa baadhi ya watu hata waleo hukumbuka san ahata wakisoma nyaraka zake Paulo kilichomfanya Paulo tofauti,
Wakristo wa Yerusalemu walionea shauku wakristo wa korintho kwa upendo na ukarimu wao. Waliowaombea na kumshukuru Mungu. Na hiyo ndiyo ahadi ya utoaji kwa ukarimu ukifanya hicyo watamtamani na hata kutilia maanani Imani yao katika Kristo bwana na mwokozi wetu. Mungu ndiye anayetuahidi hayo.
kunazo dini nyingi sana duniani na kila dini huwa na mafundisho yake na kila dini hufuata njia za kumfikia munguTwaamini kunayo mbinguni na mwenyezi mungu ndiye mwenyeji na kwasababu yeye si mchoyo ametupatia njia inayotuelekeza huko aliko na hiyo njia ni kuupokea ukweli wa injili ya bwana wetu yesu kristo