TAZAMA PANDE ZOTE MBILI
-
Wagalatia 4:21-31
Close
HATARI YA KIROHO
Ni vyema na Baraka kuu kuweka na kupalilia Imani yako kwa maombi na kujitwalia kanuni na ahadi za mungu kuliko kiburi na kujigamba kwako anapojigamba mtu huwa amesahau ule upendo wa kwanza kanisa al epheso lilikuwa katika hali hiyo hata mungu akamwamuru yohana kuwakumbusha ya kwamba kanisa lile lilikuwa lieacha upendo wa kwanza na lilipaswa kutubu na kuungama na kuurejesha uhusiano mwema na mungu.
UPUNGUFU
. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili twaifisadi maana wokovu ni kwa Imani katika yesu kristo tunapoongeza madoido yetu katika injili ya bwana wetu yesu kristo twafisadi na tunakuwa na upungufu
MAHALI PETU KATIKA MPANG WA MUNGU
Katika tamaduni kunao baadhi ya makabila ambao walitumia mbuzi au kondoo kuwapokwa watoto ambao hawakuzaliwa katika boma aufamilia, walitoa mbuzi au kondoo kumchunga halafu yule mtoto kuzaliwa mle na hivyo ndivyo Paulo anajaribu kuwaeleza wagalatia kwamba walizaliwa katiak ufalme wa Mungu, kondoo wa mungu, yesu kristo
UMUHIMU WA IMANI
Katika maisha yetu tunavyo vitu tunavyothamini kuliko vingine kulingana na umuhimu wa vitu vile katika maisha yetu. Hii ni baada ya uchunguzi na upelelezi wa kina sana na hivyo basi mtu aweza kuwa na Imani na kile chombo au kitu Lakini hapa Paulo atufunza Imani ilivyo maana Zaidi
KWANINI TORAKI
twajua na kufahamu ya kwamba mungu ni mungu wa torati na ana utaratibu kwa mfano jua huchomoza kati siku na usiku kwa wakati wake zote mbili hazijitokezi kwa wakati mmoja kweli mungu ana torati na sharia zake na utaratibu.
UKWELI WA AGANAO NA IBRAHIMU
Baba yetu ibrahimu ni mtu muhimu na wa maana katika mpango wa mungu kwetu na katika hitoria inayoonyesha namna mungu alidumisha uwepo wake kwa ibrahimu ni muhumu na tunayo sababu ya kujua na kufahamu ukweli wa agano katia ya mungu na ibrahimu. Hata yesu mwenyewe aliyazungumzia hayo katika vitabu vya injili
JIHEPUSHE NA HUKUMU YA KIFO
Hebu tuelewe ya kuwa sharia na torati ilitolewa kutuonyesha utakatifu wa mungu na hakuna mwanadamu anayeweza kutimiza matakwa ya torati na sharia . sharia na torati hufafanua utakatifu wa mungu na kwa matendo yetu hatuwezi kufikia kiwango cha utakatifuwa mungu nasi tuko chini ya laana hatuna nguvu na ushindi hatupati nsaoma mstari wa kumi tena
BABA YETU IBRAHIMU
Kwanini ibrahimu alijulikana sana katika historia ya biblia? Jibu ni kwamba ibrahimu alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa Imani na ndiye baba yetu. Lakini mtume Paulo amwonaje ibrahimu?
JINSI IMANI INAVYOFANYA KAZI
Baadhi yetu hufikiria ya kwamba Imani yetu ni kikwazo wengine hufikiria na kuwaza waza kuwa Imani ni hali ya akili tu lakini tukubali ya kwamba maisha yetu na uammuzi wetu hutegemea namna ya Imani ilivyo na nguvu na uweza wa kuyatenda mabo ya ajabu kwa utukufu wake mungu. twahitaji mazoea ya Imani anza kujifunza kujiombea kwa Imani maana hata kabal ya kuomba mahitaji yetu tayari anayajua n ahata majibu na sulihisho zimo na hutoka kwake mugnu wetu maana hata roho mtakatifu wa mungu hutuombea na kutusaidia katika udhahifu wetu kwa maana hatujui kwamba jinsi itupasavyu lakini roho mwemyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa. Yeye aichungizaye mioyo aijua nia na roho iliyo kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo mungu.
MSALABA WA YESU NI LAZIMA
Makanisa mengi karibu yote huonyesha na kuanika yote wazi msalaba maana katika Imani na mafundisho ya ukristo msalaba ni lazima. Warumi walitumia msalba kuwatesa na kuhukumu waasi. Sisi wakristo huzingatia na kuhimiza ujumbe na somo la msalaba. Somo na ujumbe wa kuteswa kwake bwana wetu yesu kristo msalabani kwa sababu ya makossa na dhambi zetu. Ilikuwa muhimu kristo afe msalabani kwaajili na kwasabau yetu sisi wenye dhambi