Wahenga hata wataalamu wa mashauri husema nakufundisha ya kwamba kablaya kufikia uamuzi wa aina iwayo yote tazama pande zote mbili au niseme tazama pande zote mbili maana hiyo ni busara na hekima usije kaanguka ndani ya shimo na kuhesabu hasara
kunazo dini nyingi sana duniani na kila dini huwa na mafundisho yake na kila dini hufuata njia za kumfikia munguTwaamini kunayo mbinguni na mwenyezi mungu ndiye mwenyeji na kwasababu yeye si mchoyo ametupatia njia inayotuelekeza huko aliko na hiyo njia ni kuupokea ukweli wa injili ya bwana wetu yesu kristo
Bwana utatuletea utukufu tutakapofika mwisho wa maisha haya duniani na hayo ndiyo makao yetu ya milele na milele na hayo yote ni urithi wetu tunapomwamini Bwana wetu Yesu kristo maisha ya utukufu