Katika historia twasoma watu waliokuwa tofauti kwa sababu maalum. Ibrahimu alikuwa mmoja wao. Aliisikia sauti ya mungu na kwa Imani akaitii. Hali kadhalika na musa ayabadilisha historia ya waisraeli kwa sababu alipenda kuyafuata na kuyazingatia maagizo ya mwenyezi mungu kwa baadhi ya watu, Paulo aliwakasirisha yeye pia alikasirishwa na baadhi ya watu. Wengine walimwona Paulo kama mtu wa kuleta mapinduzi kuubadilisha hata ulimwenguKwa baadhi ya watu hata waleo hukumbuka san ahata wakisoma nyaraka zake Paulo kilichomfanya Paulo tofauti,
kunazo dini nyingi sana duniani na kila dini huwa na mafundisho yake na kila dini hufuata njia za kumfikia munguTwaamini kunayo mbinguni na mwenyezi mungu ndiye mwenyeji na kwasababu yeye si mchoyo ametupatia njia inayotuelekeza huko aliko na hiyo njia ni kuupokea ukweli wa injili ya bwana wetu yesu kristo
Katika karne ya kumi na sita kanisa lilikuwa chini ya mamlaka ya serikali na sauri ya ukweli wa neno la mungu haikusikika sahihi ingawa kulikuwa na kundi ndogo lilozingatia ukweli wa neno la mungu sauti ya kanisa ilikuwa chini wakristo wakaanza kuwa na tashwishi na ni lipi hilolillilokuwa kweli, kukawa na mgawanyiko lakini umoja kwa upole na utaratibu ulitafutwa kwa udi na uvumba kuutafuta umoja ni jambo muhimu