Katika historia twasoma watu waliokuwa tofauti kwa sababu maalum. Ibrahimu alikuwa mmoja wao. Aliisikia sauti ya mungu na kwa Imani akaitii. Hali kadhalika na musa ayabadilisha historia ya waisraeli kwa sababu alipenda kuyafuata na kuyazingatia maagizo ya mwenyezi mungu kwa baadhi ya watu, Paulo aliwakasirisha yeye pia alikasirishwa na baadhi ya watu. Wengine walimwona Paulo kama mtu wa kuleta mapinduzi kuubadilisha hata ulimwenguKwa baadhi ya watu hata waleo hukumbuka san ahata wakisoma nyaraka zake Paulo kilichomfanya Paulo tofauti,
Wakristo wa Yerusalemu walionea shauku wakristo wa korintho kwa upendo na ukarimu wao. Waliowaombea na kumshukuru Mungu. Na hiyo ndiyo ahadi ya utoaji kwa ukarimu ukifanya hicyo watamtamani na hata kutilia maanani Imani yao katika Kristo bwana na mwokozi wetu. Mungu ndiye anayetuahidi hayo.
Katika karne ya kumi na sita kanisa lilikuwa chini ya mamlaka ya serikali na sauri ya ukweli wa neno la mungu haikusikika sahihi ingawa kulikuwa na kundi ndogo lilozingatia ukweli wa neno la mungu sauti ya kanisa ilikuwa chini wakristo wakaanza kuwa na tashwishi na ni lipi hilolillilokuwa kweli, kukawa na mgawanyiko lakini umoja kwa upole na utaratibu ulitafutwa kwa udi na uvumba kuutafuta umoja ni jambo muhimu