Wakristo wa Yerusalemu walionea shauku wakristo wa korintho kwa upendo na ukarimu wao. Waliowaombea na kumshukuru Mungu. Na hiyo ndiyo ahadi ya utoaji kwa ukarimu ukifanya hicyo watamtamani na hata kutilia maanani Imani yao katika Kristo bwana na mwokozi wetu. Mungu ndiye anayetuahidi hayo.
Kwanini ibrahimu alijulikana sana katika historia ya biblia? Jibu ni kwamba ibrahimu alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa Imani na ndiye baba yetu. Lakini mtume Paulo amwonaje ibrahimu?
Katika tamaduni kunao baadhi ya makabila ambao walitumia mbuzi au kondoo kuwapokwa watoto ambao hawakuzaliwa katika boma aufamilia, walitoa mbuzi au kondoo kumchunga halafu yule mtoto kuzaliwa mle na hivyo ndivyo Paulo anajaribu kuwaeleza wagalatia kwamba walizaliwa katiak ufalme wa Mungu, kondoo wa mungu, yesu kristo
. Tumefisadihata nainjili tunapoiuza injili twaifisadi maana wokovu ni kwa Imani katika yesu kristo tunapoongeza madoido yetu katika injili ya bwana wetu yesu kristo twafisadi na tunakuwa na upungufu