Wakristo wa Yerusalemu walionea shauku wakristo wa korintho kwa upendo na ukarimu wao. Waliowaombea na kumshukuru Mungu. Na hiyo ndiyo ahadi ya utoaji kwa ukarimu ukifanya hicyo watamtamani na hata kutilia maanani Imani yao katika Kristo bwana na mwokozi wetu. Mungu ndiye anayetuahidi hayo.
Kwanini ibrahimu alijulikana sana katika historia ya biblia? Jibu ni kwamba ibrahimu alikuwa mtu wa vitendo na mtu wa Imani na ndiye baba yetu. Lakini mtume Paulo amwonaje ibrahimu?
kinyonga hubadili rangi ya ngozi kulingana na kuambatana na mazingira yaliyomo na kwa njia huyo hujificha na adui zake watu wengi ni kama kunyonga Imani zao hutegemea mazingira na maslahi ya mtu lakini sharti lazima tusimame imara katika Imani . tusimame wima