Ingelikuwa namna gani kukutana na Yesu na kumwona akiponya wagonjwa, akituliza dhoruba na kufufua wafu? Yesu alifanya miujiza mikubwa na tunaweza kujifunza kutokana nazo kwamba Yeye yu mwenye nguvu,bali pia ni mwenye upendo na huruma. Yeye hujali matatizo ya maisha yetu,na ana uwezo wa kutuokoa,kutusamehe na kutusaidia.